Hii ni jinsi mvua inavyotesa maeneo haya ya Kinononi Msufini |
Hata hivyo hali hii ukiifananisha na maeneo ya mabondeni kama Mkwajuni na Magomeni na Jangwani hii ni kama vidimbwi tu, au kwa vingine tuseme ni kama sehemu kame kama Dodoma tu.
Mwenyekiti wa CCM wa zamani wa tawi la Msisiri Hamim Mkupete akionesha madharaya mvua zilizonyesha tangu jana alfajiri karibu na anapoishi Kinondoni Msufini leo hii mchana.
|
0 comments :
Post a Comment