News
Loading...

Makamu wa Rais aongoza umma kumuaga marehemu Kanumba


Jeneza la marehemu Kanumba likiwasili ktk viwanja vya Leaders
Umati mkubwa umejitokeza leo hii katika viwanja vya Leaders ukiongozwa na Makamu wa Rais Mh Dk Gharib Bilal ili kutoa heshima za mwisho wa kwa aliyekuwa msanii nguli wa sanaa ya maigizo nchini Tanzania marehemu Steven Kanumba. Hapo leaders watu wamejaa kiasi kwamba wengine hawaruhusiwi kuingia na hii inatokana na kuchelewa shuhuli ya utoaji heshima za mwisho. Sidhani kama kuna raia wa Tanzania au hata kiongozi wa serikali amewahi kupata umati mkubwa kama huu labda Mwalimu J.K. Nyerere. Umati huu na uwe njia nyepesi kwake kuelekea mapumzikoni.

Dk Gharib Bilal akitoa heshima za mwisho.
Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie

FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :