News
Loading...

Vyoo vya Airport


Jana usiku niliposindikiza mtu airport ya Dar nikapatwa na haja ndogo kali si unajua baada ya mtindi huwa lazima uende, basi picha hizo zinajieleza. Sasa sijui ingekuwa number two ingekuaje?  Loh! bora hiyo airport mpya ijengwe haraka!


Pamezibwa na trolleys.

FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :