News
Loading...

Hili ni eneo sugu kwa ubovu.
Hii ni barabara moja wapo kati ya mbili zinazotoka shule ya Msingi ya Makumbusho kuelekea ile ya Maji machafu, inaonekana inafanyiwa ukarabati sijui wa kiasi gani. Lakini vifusi vinavyowekwa katika barabara hiyo vimekuwa vikimwagikia mferejini na hali hiyo itasababisha maji kushindwa kupita kwa urahisi. Usishangae madongo hayo kubaki humo mpaka mwaka kesho!
Hapa mferji umefunikwa kabisa na udongo.


FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :