News
Loading...


Wapendwa wadau naungana na wa Tanzania wenzangu kuomboleza vifo vya wenzetu vilivyotokea huko Nungwi,Unguja baada ya meli Mv Spice kupinduka na kuzama ilipokuwa njiani ikielekea Pemba. Inasadikika kuwa watu wapatao 200 wakiwemo watoto walikufa maji. Mungu awape wafiwa subira kwani yote hii ni mipango yake Muumba. Mungu ibariki Tanzania na watu wake!


FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :