News
Loading...

Mtoto aliyekosa sura


Mtoto wa Kichina mwenye miaka 6 Wang Xiaopeng amekuwa bila nywele, nyusi na midomo huku vidole vyake vyote vikiwa vimekatw. Dogo huyo aliungua baada ya chanja la kuhifadhia mazaokushika moto karibu na kwao katika jimbo Ningxia. Wazazi wake walimuwahisha dogo huyo katika hospitali ya Ningxia ambapo alifanikiwa kupona baada ya matibabu ya miezi mitatu. Moto huo ulimharibu vibaya sana mtoto Wang.
 Baba yake Wang Yougiu 32, anasema wanajisikia vibaya kumuona mtoto wao katika hali hiyo na wanapenda kumtibu mtoto wao awe na ngozi nzuri lakini hawana pesa za kumtibia. Zinahitajika dola 30,000 za kimarekani ili kulipia operesheni 3 zitazomfanya awe na mtazamo mzuri pia aweze kuona vizuri. Pichani chini ni picha ya mtoto Wang kabla hajaungua mwaka 2010 Huko China. Mipango ya kumuombea misaada inafanyika ili Wang akatibiwe ili aweze kwenda shule mara akipona.
 

Habari kwa hisani mtandao wa mailonline

FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :