Jana nikiwa Kariakoo nikashuhudia jambo la kushangaza kidogo, Katika picha kushoto anaonekana jamaa ana t-shirt nyekundu mbele yake kuna mwanamume kisha pana mwana dada aliyevalia suruali na top nyeusi, tazama picha ya chini, jamaa alimkimbilia huyu dada na kung'angania amsalimie kwa kumshika mkono dada hakukubali na jamaa akaendelea kumfuata huku akiendelea kumuomba. Sielewi kwa nini alifanya hivyo lakini dada huyo Mashallah hakuonekana kukerwa na jambo hilo, tena alionesha kutoa tabasamu la nguvu ikafikia watu waliokuwa pembeni wakaanza kushangilia kama mpira vile, si mnaijua Kariakoo? Ulaya unaweza kwenda jela kwa kum harass mtu mke kama hivi!
He huyu kaka vp?
Jana nikiwa Kariakoo nikashuhudia jambo la kushangaza kidogo, Katika picha kushoto anaonekana jamaa ana t-shirt nyekundu mbele yake kuna mwanamume kisha pana mwana dada aliyevalia suruali na top nyeusi, tazama picha ya chini, jamaa alimkimbilia huyu dada na kung'angania amsalimie kwa kumshika mkono dada hakukubali na jamaa akaendelea kumfuata huku akiendelea kumuomba. Sielewi kwa nini alifanya hivyo lakini dada huyo Mashallah hakuonekana kukerwa na jambo hilo, tena alionesha kutoa tabasamu la nguvu ikafikia watu waliokuwa pembeni wakaanza kushangilia kama mpira vile, si mnaijua Kariakoo? Ulaya unaweza kwenda jela kwa kum harass mtu mke kama hivi!
1 comments :
HUYU DADA KAFUNGASHA KIZIGO SI MCHEZO WALLAH HATA MIMI NINGEMSUMBUA
Post a Comment