News
Loading...

Taifa Stars 1- O Palestine!


Washabiki wa Taifa Stars.
Jana katika uwanja wa taifa Taifa stars iliikaribisha timu ya taifa ya Palestine katika mchezo wa kirafiki ambapo Stars ilishinda kwa golo moja bila kwa goli lililofungwa kifundi na Mrisho Ngassa baada ya kupasiana vema na Mohamed Bamka Simba. Goli hilo liliufanya uwanja huo mkubwa na wa kisasa katika pande hizi za dunia ulipuke kwa kelele hasa  kutokana na goli lile lilivyokuwa zuri kama yale ambayo tumekuwa tukiyaona katika English Premiership.
Half Time.

Brass Band.


Dah goli  zuri kama Ulaya!

Mshabiki wa Palestine akishangilia na wale Stars



Washabiki wa soka wkisubir mchezo uanze.


FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :