Viti kama uvionavyo! |
CHINI
Adha hii ndiyo niliyoiongelea jana watu wamelipa buku lakini sh 1000/= wanapenya huko wanapoingilia mpaka wanafika huku VIP palipolipiwa sh 30,000/= kwa kichwa. Hapa huyu askari ameamua awaache wasimame hapo na watazame mpira, hali hii inabeza uwanja huo kuwa na viti elfu sitini kwa kuwa siku husika uwanja uliigiza watu wapatao 35.000 hivi. Hivyo nafasi zilikuwepo. Hivi hili hawakuliona walipokuwa waki design huu uwanja yaani watu kupata uhuru wa kuranda randa humo uwanjani? Ka jamani nyie MWE!!!
Askari polisi akiwa ameegeukia upande wa mlango. |
0 comments :
Post a Comment