News
Loading...

Aunt Ezekiel "Juju-Man"feki katika Facebook!


                    Aunt posing with best friend Rehema at Bills
                           Top. With admirer Fatuma Fundikira
Kwa mujibu wa Anti Ezekiel halisi Mcheza filamu maarufu hapa nchini kuwa hapendi kujihusisha na mtandao maarufu wa kijamii wa FACEBOOK kwa kuwa watu wengi wenye nia mbaya na yeye humuwinda humo, na ili kujiepusha na usumbufu wowote ambao ungeweza kijitokeza ndipo alipoamua kutojiunga na FACEBOOK. Pia Anti amekaririwa na gazeti moja la kidaku akisema kamwe hatojiunga na Mtandao huo kwa kuhofia kuumizwa, ambapo yeye amewashuhudia marafiki zake wakipata wakati mgumu kutokana na kujihusisha kwao na mtandao huo. Lakini hebu jaribu kuingia FACEBOOK na ubofye jina la Ezekiel Aunt utakuta kuna picha kadhaa za Aunt ambazo zinaonesha ni za kuchukuliwa magazetini na pia nyingine zina Alama za Global Publisher ambayo ni kampuni maarufu inayomiliki magazeti ya kidaku yapatayo saba hivi! Hivyo nawaonya wote ambao wangependa kuunda urafiki na Aunt Ezekiel wamtafute kwa njia nyingine na si facebook.

FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :