News
Loading...

Wewe bwana vipi? Au huoni?


Mwendesha baiskeli akipita barabarani.
Badala ya kupita katika ujia 
huu rasmi na salama kwake.
Bwana huyu hapa kushoto pichani ameamua kupita barabarani akiendesha baiskeli yake badala ya kupita katika ujia rasmi tena mpya kwa wenda kwa miguu na waendesha baiskeli aka injini kiuno, sijui askari wa usalama barabarani wanapaswa wamtoze faini kwa kukiuka sheria na taratibu za usalama barabarani, au watu wa namna hii waachwe waendelee kuleta usumbufu na kuhatarisha maisha yao na ya watumiaji wegine wa highway hizo?

FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :