News
Loading...

Taka taka ndani ya mfereji wa maji!


Taka miferejini.
Taka hizi ni zile zile za mwezi wa kumi mwaka 2010 wakati nikifungua blogu hii bado zipo zipo kwanza, mpaka wakati wa kampeni nafikiri haswa ndio muda muafaka wa kuziondosha toka miferejini. Loh ingekuwa Zanzibar nisingeeleweka hata kidogo, Mfereji ni bomba la maji pande zile!

Hii ni Bara bara ya Dunga.


FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :