News
Loading...

Wanajeshi mashoga wa Ki marekani


Halooo jamani shostito Anti Jay!

Aka babu we!  magumi ya nini? Mambo taratibu!

Hapa mashoga wakipongezana

FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

3 comments :

Anonymous said...

DUH.... ALAFU JESHI HILO HILO NDIO LINATUPA MISAADA! JAMANI KIAMA HIKI.. SIJUI TUNASEMAJE SASA HAPO? KWAMBA TUMECHANGANYWA TUSUBIRI KUFA WOTE WALAHI.. MWANAUME UNALEGEA HIVI! HATA KAJINGUVU KA MFUPA KWISHA... LOH MUNGU TUNUSURU

tz biashara said...

Tatizo haya mambo yao machafu wanayalazimisha kwa makusudi ili yakubalike duniani, yaani mpaka UN yanazungumziwa ili nchi nyengine zikubaliane nazo.Wanachukia nchi zinazo pinga haya mambo lakini wao wanayalazimisha sasa sijui nani ana fuata "human right".Kwasababu ukimfundisha mtoto wako mambo haya na kumwambia achague vile atakavyo au umwambie mambo yale ni kawaida tu na mtoto achague vile atakavyo,hivi hapo nani kamuonea mwenzake?Kwasababu mtoto anatakiwa aongozwe ktk malezi bora kwa faida ya baadae.Kama bunge la uingereza kuna wabunge wamejitangaza 22 hadharani ya kua ni GAY'S tena wameamua kuwaacha wake zao na watoto kwa sababu wameamua kuwa hivo na ni maamuzi yao.Kazi kwelikweli na mwenyezimungu atunusuru na vizazi vyetu.

Mkala26 said...

Mimi kwa kweli hata la kuongeza sina, nimechoooka na mtazamo wa jeshi hili la Mmarekani.