Mh Muhammad Chombo |
Kauli kali kama hizi zitakuja epukwa tu siku za mbeleni kama, ama tutakuwa na serikali moja au tatu ili kuondoa malalamiko toka pande zoter za muungano ambao ni dhahiri umekuwa wa viongozi badala ya kuwa wa wananchi. Pia nafikiri itakuwa vema pawe na mkutano wa kutunga katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania ambao utaondoa dosari zote zilizomo katika muungano huu.
0 comments :
Post a Comment