Chama cha soka cha Wales kimethibitisha kifo cha Garry Speed (42) aliyekuwa kocha wa timu ya taifa ya nchi hiyo. garry Speed aliichezea Wales mechi 85 katika kipindi cha miaka 14 aliyocheza soka. Speed alianza kuifundisha Wales mwaka 2010, Speed ambaye chini yake Wales ilicheza michezo 10 na kushinda mitano mfululizo,na wa mwisho ulikuwa wa kirafiki dhidi ya Norway ambapo Wales ilishinda 4-1. Speed aliziwahi kuzichezea timu za SHeffield United, Newcastle na Bolton. Huu ni msiba mkubwa kwa wapenzi wote wa soka na michezo kwa ujumla wake.
0 comments :
Post a Comment