News
Loading...

Choo hiki ni noma!


Hivi ndio hali ilivyo katika baa moja Magomeni jijini Dar
Baa nyingi mjini hapa zimekua na vyoo vichafu sana, hicho hapo chini ni choo katika baa moja iliyopo Magomeni kwa mtazamo huo nafikiri na harufu utakuwa umeshaipata! Hali ilikuwa mbaya zaidi siku za nyuma kwa sasa kuna unafuu wa usafi wa vyoo vy ma baa.

Kazi kweli kweli


FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :