maridhawa za hoteli ya Double
| Hivi ndivyo kili Music Awards ya Mwaka huu ilivuozinduliwa jana. |
malalamiko ya hapa na pale. Matumaini yangu ni kuwa kwa mara nyingine tena waandaaji Tamasha hilo watajipanga vema na hatimaye tuwe na tunzo zitakazokosa malalamiko. Hongera TBL NA BASATA.
| Bw George Kavishe, meneja wa bia ya Kilimanaro akisema maneno machache katika uzinduzi huo, |
| Nembo mpya ya Kili Music Awards kwa mwaka 2011. |
| Viongozi wa BASATA na mameneja wa bia ya Kilimanjaro wakizindua rasmi tunzo za mwaka huu. |
| Marsha, Sada Baraka na Asha Baraka walikuwa miongoni mwa waalikwa wa tafrija hiyo fupi. |
| Mkala na Banana Zorro. |
| Gadna na Linah. |
| Asha Baraka na Jokate Mwegelo wakipozi kwa picha |
| Miss Tanzania 2010 Genevive Mpangala ni miongoni mwa wageni waliohudhuria uzinduzi huo uliofana sana. |
| Dogo Janja nas Mwana Fa. |
-
| Steve RnB akipoza koo na kili hapo Double Tree Hotel. |
| Amani kati yangu na Mwasu Mpore mkuu wa vipindi EATV. Hapo nyuma tulipata kukosana lakini hayo yamepita kama picha hii ioneshavyo, huu ndio ustaarabu! |
| Amini Mwinyimkuu aka Nduli akihojiwa na Mussa wa EATV mara baada ya kuwasili katika zulia jekundu jana usiku. |
| Hili ndilo jukwaa lililotumika jana kwa shows na kadhalika, limekwenda shule! |
| Bi Kadija Kalili (bongoweekend blog) |
| AY na Mkala tukipozi kwa picha. |
0 comments :
Post a Comment