News
Loading...

Waziri wa ulinzi na mkuu wa majeshi wajiuzuru!


Waziri wa ulinzi  Kostas Papakostas na mkuu wake wa majeshi Patro Salkidis wamejiuzulu nyadhifa zao kufuatia mlipuko katika ghala la kuhifadhia silaha ambao ulisababisha vifo vya watu kumi na mbili, mlipuko huo mkubwa uliotokea kusini mwa nchi ya Cyprus juzi baada ya ghala la silaha kushika moto . Nguvu ya mlipuko iliathiri vibaya vijiji vya vya jirani na kukiharibu kinu cha kuzalishia umeme na hivyo kulifanya eneo kubwa la nchi hiyo ya Cyprus kukosa umeme.


Tofauti na Tanzania hata waziri akosee vipi kujiuzuru ni mwiko na kufukuzwa kazi ndio wala usfikirie kutatokea, inabidi tubalike jamani!

FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :