News
Loading...

Tutegemee nini kama askari polisi anaishi katika hema kama hili?




Haya ni makazi ya askari polisi.
Unaweza tu ukajiuliza tu kuwa kama askari polisi tena mwenye cheo cha koplo anaishi katika hema chovu kama hili atashindwaje kuchukua rushwa ili aweze kujikwamua na kupata makazi bora za ya hayo tuyaonayo pichani. Kungekuwa na ubaya gani wabunge wetu wangekubali kuondolewa posho za vikao ili wafanyakazi muhimu kwa jamii yetu ya Tanzania kama askari polisi, wauguzi na waganga wangepatiwa makazi bora? Ama kweli pesa hazibanani!

FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :