News
Loading...

Man city kujenga trainning complex bora duniani


Man city trainning complex karibu na Etihad stadium


Kilabu cha soka cha Mancgester city cha jijini Manchester kimezindua mpango wa kujenga accademy ya karibu na uwanja wao wa Etihad, academy hiyo itakayokuwa bora kuliko zote duniani itagharimu pauni 100 milioni na itachukua miaka minne kukamilika, zifuatazo ni facility zitakazokuwemo katika trainning complex hiyo mashariki mwa jiji la Manchester

 

  • Kitajengwa katika eneo lenye ekari 80
  • Patakuwa na viwanja 15 vya kawaida na viwili vyenye nusu ya ukubwa wa kawaida 
  • Patakuwa na uwanja utaoweza kuchukua watu 7000 watakaokaa vitini
  • Patakuwa na uwezo wa kufundisha watoto 400 kwa wakati mmoja 
  • Patakuwa na vyumba 32 vya timu ya kwanza (Man city) vile vile 40 vya timu ya watoto
  • Patakuwa na ofisi za wafanyakazi na kituo cha habari
  • Patakuwa gym kwa ajili ya timu ya kwanza na mahala pa kufanyia mazoezi kwa wachezaji waliopona majeraha( rehabilitation room)
  • Pia Manchester city itaacha eneo lenye akari tano kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari.
Habari na picha kwa hisani ya gazeti la Dailymail, Uk.

FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :