News
Loading...

Miss Jestina George ataipeperush vema bendera ya taifa letu!



Miss Jestina akijivunia
bendera ya Tanzania.
Wapendwa wadau wa blog hii napenda kuwafahamisha kuwa Miss Jestina George ni mTanzania mwenzetu aishiye na kufanya kazi jijini London katika nchi ya England. MissJestina pia ni mwana blog na anendesha 
MISSJESTINAGEORGE.BLOGSPOT.COM huko Ughaibuni na kwa bahati nzuri kwetu sisi wa Tanzania blog yake imechaguliwa kuwa moja ya blog kadhaa zitakazo wania kuibuka na ushindi wa BLOG OF THE YEAR katika tunzo za BEFFTA . Hivyo basi kwa niaba yake nawaomba wa Tanzania wenzangu tumpe kura zetu ili ashinde tunzo hiyo adhimu. Ili kumpigia kura tembelea WWW.BEFFTA.COM/VOTING, jaza fomu kisha bofya news4.Blog of the year na katika nominee bofya Miss Jestina George ili uwe umeipigia kura blog yake ishinde kisha bofya SUBMIT YOUR VOTE.

Natanguliza shukurani,
Mkala Fundikira

FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :