Hili ndilo eneo linalolalamikiwa ubavuni mwa nyumba ya kada wa CCM Mzee Mohamed hapo Msufini. |
Nilipomuuliza mlalamikaji mmojawapo ni hatua gani wamechukua baada ya uvamizi huo? Amesema kuwa wapo katika harakati za kushauriana kisha watawaandikia barua Diwani wa kata ya Mwana nyamala na Mbunge wa jimbo la Kinondoni ili kueleza malalamiko
1 comments :
kwa kweli inakera sana hasa pakijaa magari mpaka mlangoni mwa gati letu
Post a Comment