News
Loading...

Mifuniko hii itabaki hivi mpaka lini?


Hapa ni petrol station ya Total iliyopoKinondoni  Morocco
Katika hali ya isiyoshangaza hapa jijini, mifuniko ya mfereji wa maji katika barabara ya Kawawa maeneo ya Morocco imevunjika muda mrefu na imebaki hivyo bila kubadilishwa jambo ambalo linasababisha usumbufu kwa watumiaji wa kituo hicho cha mafuta.Natumai baada ya hii habari kutoka humu hili tatizo litarekebishwa haraka iwezekanavyo na eneo hilo kupitika kirahisi kama ilivyokuwa hapo awali.

Mifuniko iliyovunjika katika lango la Total.          


FACEBOOK COMMENT

Share on Google Plus

Connect Mkala26

Usikubali kupitwa na chochote kupitia mtandao huu, kupaya yote haya unahaki ya kuungana nasi sasa, Kuungana nasi BOFYA
FACEBOOK, |INSTAGRAM,
.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :