Mchezaji wa kiungo chipukizi wa Arsenal Emmanuel Frimpong amezua mjadala katika mtandao wa TWITTER baada ya kudai angekuwa na nafasi kubwa ya kucheza Arsenal angekuwa mweupe na Mwingereza.
![]() |
Frimpong akiwa mazoezini Arsenal |
![]() |
Frimpong akiwa mazoezini Arsenal |
0 comments :
Post a Comment