Mtemi Abdallah Fundikira wa pili toka kushoto na mwalimu Nyerere. |
Mtemi Abdallah Fundikira wa kwanza kushoto na Mwalimu Nyerere (suti nyeupe) |
Mtemi Said Fundikira baba wa Mtemi Abdallah Fundikira akiwa na mwalimu Nyerere enzi hizo 1956. |
Mtemi Abdallah Fundikira wa pili toka kushoto na mwalimu Nyerere. |
Mtemi Abdallah Fundikira wa kwanza kushoto na Mwalimu Nyerere (suti nyeupe) |
Mtemi Said Fundikira baba wa Mtemi Abdallah Fundikira akiwa na mwalimu Nyerere enzi hizo 1956. |
3 comments :
Asante kwa historia fupi. Ama kwa hakika suala hili na yanayowahusu viongozi waengine wapigania uhuru, ukombozi na maendeleo ya Tanzania, anayeweza kutoa sababu hasa ya kwanini wengine wakumbukwe na wengine wasahauliwe kwa makusudi ni Serikali na uongozi wake.
Uzuri ni kuwa uhuru wa kuweka kumbukumbu kwa watu binafsi ungali bado upo na huenda kwa kuziandika hivi, siku moja zitatambulika rasmi na wahusika kupewa heshima zao ikiwa wanazistahili.
Historia yenyewe tuliyofundishwa mashuleni haikuwa yaukweli na yale ya ukweli yamefichwa kwa sababu ya kupewa kipaumbele mtu mmoja tu.Waliohangaikia uhuru kwa hali na mali hawafahamiki isipokuwa wale waliokabidhiwa uongozi kiulaini bila kutoa jasho kama wenziwao ndio wanaonekana.Sio Chifu Fundikira tu bali wengi wanaopaswa kukumbukwa.
Wapo wengi tu waliosahaulika kwa makusudi ili kumtukuza mtu mmoja tu.Wapo waliopigania kwa hali na mali kujitolea kwa kutafuta uhuru na matokeo yake tunafundishwa sivo mashuleni ktk historia.
Post a Comment